MNEC SOMBI ASHIRIKI KIKAO CHA BARAZA KUU LA UVCCM TAIFA

 



🗓️ 07-02-205

📍Dodoma


Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Rehema Sombi Omary (MNEC) Amehudhuria na Kushiriki katika Kikao Cha Baraza   Kuu la UVCCM Taifa.

Kikao hicho kimejfanyika katika Ukumbi wa NEC Jijini Dodoma. Na kimeongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM  TAIFA Ndugu Mohamed Ali Kawaida (MCC).

#Miaka48yaCCM

#UmojaWetuNguvuYetu

#TunazimaZoteTunawashaKijani

Post a Comment

0 Comments