EWURA YAPOKEA MAOMBI YA VIBALI VYA UJENZI NA LESENI



 EWURA imepokea maombi ya vibali vya ujenzi na leseni kutoka kwa waombaji walioorodheshwa. Mtu yeyote au kikundi cha watu wenye pingamizi kwa mwombaji yeyote

aliyetajwa hapo juu kwamba asipewe leseni au Kibali cha ujenzi, anatakiwa kuwasilisha pingamizi kwa EWURA ndani ya siku kumi na nne (14) kuanzia tarehe ya tangazo hili kupitia anwani tajwa hapa chini.










Post a Comment

0 Comments