Mkurugenzi wa Kinga Jeshini, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Luteni Kanali Charles Emilio Mwanziva akiongea na mwandishi wa habari kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani Luis Velarde wakati wa ziara ya waandishi hao katika zahanati ya Mgambo inayomilikiwa na JKT iliyopo mkoani Tanga kujionea namna Tanzania inavyopambana na ugonjwa wa malaria.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/05/213.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/05/58.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/05/65.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/05/74.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/05/95.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/05/49.jpg)
0 Comments