RAIS MWINYI AWASILI DSM

 



Na mwandishi wetu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar na kuwasili Jijini Dar es salaam kuhudhuria Mashindano ya Qur-an ya Kimataifa ya Tajweed yalioandaliwa na  Taasisi ya Khidmatulquran Islamic Foundation , katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNICC) Dar es Salaam tarehe 15 Machi 2025.

Post a Comment

0 Comments