Na mwandishi wetu
Mkuu wa wilaya ya Tanga Mhe Japhari Kubecha Leo 13 Septemba, 2024 , Amezindua Mashindano ya Baiskeli Kwenye Maonesho ya Tanga Women Gala ,
-
Katika Mashindano Hayo ambapo yalikuwa na Mavazi Maalum kwa Wanaume kuvaaa Msuli ,Barakashea na sendo Maridadi ,
-
" Nawapongeza Tanga Women Gala kwa Kutimiza Miaka 7 Toka Kuanzishwa kwa Maonyesho haya , Nyie Ni Kielelezo Tosha cha Baiskeli Kwani ni Kipando ambacho Popote Kinapita , maana Yake Nyie Wajasiriamali ni Wapambanaji Kwenye Mabonde , Na Changamoto kote Mnapita .
*TANGA YETU ,LANGO LA UCHUMI WA AFRIKA MASHARIKI*
0 Comments