RAIS DKT SAMIA ASHIRIKI ZOEZI KUJINDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

 





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijiandikisha kwenye Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 11 Oktoba,2024.

Post a Comment

0 Comments