Na mwandishi wetu
Wizara ya Nishati imeshiriki Wiki ya Nishati Jadidifu 2025 inayoendelea jijini Dar es Salaam.
Katika picha ni Wadau na Wageni mbalimbali walipotembelea Banda la Wizara na kupata elimu juu ya masuala mbalimbali ikiwemo umeme na Nishati Jadidifu.
Wiki ya Nishati Jadidifu inafanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC).
0 Comments