MOHAMED KAWAIDA ASHIRIKI UZINDUZI WA DIRA YA MAENDELEO YA TAIFA 2050 DODOMA

 


Na mwandishi wetu

Mwenyekiti Wa Umoja Wa Vijana Chama Cha Mapinduzi TAIFA *Komredi Mohamed KAWAIDA* Ashiriki Uzinduzi Wa Dira Ya Maendeleo Ya TAIFA 2050, Iliyofanyika Mkoani Dodoma.

_"Katika Dira Ya Maendeleo Ya TAIFA 2050 Vijana Ndio Kundi Ambalo Limeguswa Kwa  % Kubwa, Hivyo Kama Mwenyekiti Wa Vijana Ni Jukumu Langu Kuja Kusikia Yale Ya Vijana"_

Ukisoma Ukurasa Namba 5,6,7 Na 14 Wa Dira Ya Maendeleo Ya TAIFA 2050,Inaelezea Fika Vijana Wananufaika Vipi Na *Tanzania Ya 2050*...Hivyo Kama Vijana Yatupasa Kushambulia Fursa Zilizopo.

*#SautiYaVijana*

*#DiraYaMaendeleoYaTaifa2050*

*#OktobaTunatiki✅✅*






Post a Comment

0 Comments