DKT. BITEKO AKIHITIMISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2025/2026

 



Na mwandishi wetu


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Aprili 29, 2025 akihitimisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa mwaka 2025/2026 bungeni jijini Dodoma. @biteko @wizara_ya_nishati_tanzania @onwm_tanzania @judith__kapinga

Post a Comment

0 Comments