MWITO WA MAONI:EWURA YAPOKEA MAOMBI YA LESENI KUTOKA PAN AFRICAN ENERGY

 


Mwito wa Maoni: EWURA imepokea maombi ya Kampuni ya Pan African Energy 

Tanzania Limited kwa ajili ya kibali cha ujenzi wa bomba la kusambaza gesi asilia.


Hivyo basi, mtu yeyote au kikundi cha watu wenye pingamizi dhidi ya ombi hili atume maoni yake EWURA ndani ya siku 14 tangu kuchapishwa taarifa hii.


Post a Comment

0 Comments