RAIS MWINYI AKISHIRIKI MKUTANO WA CTIS LONDON

 





Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dkt.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika Mkutano wa Biashara na Uwekezaji wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Trade & Investment Summit 2025), kwenye ukumbi wa Jiji la kihistoria Mansion House, London tarehe 7 Aprili 2025.

Mkutano huo umehudhuriwa na Viongozi mbalimbali kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola chini ya uenyeji wa Meya wa Jiji la London, Mhe.Alderman Alastair King.













Post a Comment

0 Comments