WIZARA YA NISHATI KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA DODOMA

 


Na mwandishi wetu

Matukio mbalimbali wakati Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Wizara ya Nishati, Ziana Mlawa alipotembelea Banda la Wizara ya Nishati na Taasisi zake katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2025 yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma


#NishatiTupoKazini




Post a Comment

0 Comments