Salum Mwalimu Achukua Fomu ya Urais kwa Tiketi ya CHAUMMA

 




Na mwandishi wetu

Mgombea Uraisi kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA Mh.Salum Mwalimu akiambatana na Mgombea mwenza Mh.Devotha Minja Leo,August 12,2025 wamechukua Fomu ya  kugombea Uraisi kupitia CHAUMMA  makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Dodoma nakukabidhiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji wa Mahakama ya rufaa,Jacobs Mwambengele.











Post a Comment

0 Comments